Posts

Showing posts with the label Kimataifa

Kifaru mzee aliyefariki kufanyiwa sherehe yakumuenzi

Image
Wiki iliyopita Kifaru Sudan ambaye ndiye alikuwa kifaru mzee zaidi wa kiume aliyebaki duniani ambaye alikuwa anapatikana katika Hifadhi ya Ol Pejeta nchini Kenya aliripotiwa kufa. Kutokana na kifaru huyo kuwa wa pekee duniani, inaandaliwa sherehe maalumu kwa ajili ya kumbukumbu yake na kusherekea kipindi cha maisha yake, ambayo itafanyika March 31, 2018. Kwenye barua maalumu ya mwaliko kwa vyombo vya habari kutoka kwa Uongozi wa Hifadhi hiyo na Wizara ya Utalii imeeleza kuwa sherehe hiyo itahudhuriwa pia na Katibu wa Wizara wa Utalii Najib Balala. Sherehe hiyo itafanyika eneo la ‘Uwanja wa Kumbukumbu ya Kifar